Caption align here

Blog Full Left Sidebar With Frame

Mwaliko wa Kuhudhuria Mafunzo ya Mahakama Nadharia Soma zaidi
Read More
Tarehe 6/12/2023 Chuo Kikuu cha Mt. Agustino Tanzania kinatarajia kufanya maadhimisho ya Saba ya Mahafali kutunukisha Astashahada, Stashahada na Shanada mbalimbali. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Askofu wa Jimbo katoliki Singida, Askofu Mapunda. Mahafali itatanguliwa na ibada ya misa takatifu itakayoanza saa mbili kamili. Karibuni sana.
Read More
Chuo Cha SAUT ARUSHA kipo katikati ya Jiji la Arusha na Taarifa za msingi ni kama ifuatavyo: 1. USAFIRI – Chuo kipo Jirani kabisa ya stand kuu ya mabasi Arusha, pia kinapakana na stand ya daladala zote za Arusha Mjini (Walking distances). Hivyo ni rahisi kufika chuoni nyakati zote bila usumbufu wowote. Usafiri wa kutoka stand kuu ya mabasi kuja chuoni ni kwa kutumia bodaboda, bajaji au tax. Hata hivyo...
Read More

Text Widget

Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Donec sed odio dui. Etiam porta sem malesuada.

Recent News

INVITATION – TAWJA MOOT COURT
December 4, 2023By
MAHAFALI YA SABA
December 4, 2023By
MAPOKEZI YA WANAFUNZI
October 12, 2023By

Recent Works