Tarehe 6/12/2023 Chuo Kikuu cha Mt. Agustino Tanzania kinatarajia kufanya maadhimisho ya Saba ya Mahafali kutunukisha Astashahada, Stashahada na Shanada mbalimbali. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Askofu wa Jimbo katoliki Singida, Askofu Mapunda. Mahafali itatanguliwa na ibada ya misa takatifu itakayoanza saa mbili kamili. Karibuni sana.Read More
Text Widget
Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Nulla vitae elit libero, a pharetra augue. Donec sed odio dui. Etiam porta sem malesuada.